Popular Posts

Friday, 12 June 2015

Mtume David Simbeye akisisititiza katika moja ya ibada zinazofanyika katika huduma ya Ruhama healing ministry iliyoko Tabata kisukuru jijini Dar es salam. Mungu amekuwa akimtumia sana mtume David Simbeye katika kuwafungua watu waliofungwa kwenye vifungo mbailmbali, katika ibada hizo zinazofanyika kila siku za kanisani hapo.

No comments:

Post a Comment